MAMA AMLAZIMISHA MWANAE KULA PANYA KAMA KITOWEO CHA ASUBUHI, - MAISHA ONLINE BLOG

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Thursday, April 2, 2015

MAMA AMLAZIMISHA MWANAE KULA PANYA KAMA KITOWEO CHA ASUBUHI,

Kuna tamaduni nyingine hutumia nyama ya mbwa kama kitoweo na wakati mwingine huamini ina faida kubwa mwilini tofauti na nyama ambazo zimezoeleka kuliwa na binadamu.
 
Hii imetokea huko India baada ya mwanamke mmoja kumlazimisha mtoto wake kula nyama ya panya kama kitoweo cha asubuhi kwa madai watamsaidia kumpatia nguvu.
Mtoto huyo aitwaye Chen alizua majibizano kwenye mitandao ya kijamii baada ya kuweka picha ya panya hao ambao alitengewa na mama yake huku mama huyo akumuhimiza kuhakikisha anamaliza kabla ya yeye kuondoka kwenda kazini.
SHIRIKI KWA KUTOA MAONI YAKO KUPITIA MICHALAZO BLOG

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot