Akizungumza na chanzo hiki mkuu wa mkoa wa rukwa injinia stella martini manyanya amesema fulsa walizo pata walimu wanatakiwa kuzitumia kulingana na weledi wao walioupata wawapo vyuoni na badala yake kutozifanyia mzaa ili ziwe chachu na faida kwa wazawa mkoani hapa
Aidha ameongeza kwa kukemea tabia ya watu kuja na kuomba nafasi za ajira mkoani hapa na baada ya muda mfupi kuomba uhamisho wa kubadilishiwa kituo cha kazi mkoa mwingine kwani kwa kufanya hivyo ni kuzichezea fulsa na kunyima nafasi wengine ambao ni wahitaji wa fulsa hiyo
Venance kusongwa ni mkuu wa chuo cha ualimu mkoa wa rukwa ambaye amewataka waalimu kuyaishi maadili mema katika jamii ili waweze kuwaanda wanafunzi kuwa viongozi bora wanchi ya Tanzania na kwingineko duniani
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgpH6bBoznGZ3d99fgTKAzInWLLoSvaXnTp-8LZIPzCrv48K80jNMQqi-ql6DIRTY8m-ZXYTD61cS7_0ySVtnK9DLwlbRgud43eozLAz3CAykxQG9nSt_uHb_mXGHr6E7oZoCBuX9HJACA/s1600/IMG_20150428_141242.jpg)
Lakini suala likabaki kwa wanafunzi ambao bado wako vyuoni katika chuo hicho cha ualimu rukwa wao wanazungumziaje ajira hii ya ualimu na nini matazamio yao baada ya kuhitimu
OFISI YA WAZIRI MKUU TAMISEMI INATANGAZA ORODHA
YA WANACHUO WAHITIMU WA MAFUNZO YA UALIMU KAMA
IFUATAVYO:-
i. Walimuwa Cheti (Daraja IIIA) kwa ajili ya shule za msingi 17,928
ii. Walimu wa Stashahada kwa ajili ya shule za sekondari 5,416
iii. Walimu wa Shahada kwa ajili ya shule za sekondari 12,677
Walimu hawa wamepangwa katika Halmashauri na shule za mazoezi za
vyuo vyaualimu Tanzania Bara.
No comments:
Post a Comment