WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU MKOANI RUKWA,SASA NI ZAMU YAO UCHAGUZI MKUU 2015 - MAISHA ONLINE BLOG

Hot

Post Top Ad

Your Ad Spot

Monday, June 22, 2015

WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU MKOANI RUKWA,SASA NI ZAMU YAO UCHAGUZI MKUU 2015

 baadhi ya washiriki katika mafunzo ya kujengea uwezo wanawake vijana na wenye ulemavu wenye nia ya kugombea katika uchaguzi mkuu 2015
 Mfumo dume ni utaratibu wa maisha wenye itikadi inayo amini kwamba mwanaume ni kiongozi katika ngazi zote na kwamba mwanamke kazi yake kazi yake kuu ni kuendeleza kizazichini ya uongozi wa mwanaume
Katika historia ya mataifa mengi duniani mfumo dume umeongoza dunia katika itikadi ya ubaguzi wa jinsia , Mfumo huu umeashiria kumyima  haki mwanamke madaraka ya uongozi katika ngazi ya Taifa na Kimataifa
 aidha ili mwana mke aweze kudumu utendaji mzuri katika siasa anahitaji kuungwa mkono na kupata msaada mkubwa kutoka familia hasa katika kubeba yale majukumu yake ya jadi




 TANZANIA WOMENI CROSS PARTY PLATFORM( T-WCP/ PLATFORM)  Ni asasi inayo fanya jitihada katika kuhakikisha mwanamke kijana na walemavu kupata nguvu ya ushiriki na kujiamini katika kushiriki chaguzi mbalimbali haswa uchaguzi mkuu2015
 Wakazi mkoani Rukwa wilaya sumbawanga wameishukuru OLINGO kwa kuandaa mafunzo haya ambayo yamewapa ujasiri na uwezo wakushiriki kuwania nyazifa za uongozi
mafunzo haya yaliyo fanyika kwa siku tano katika ukumbi wa libori CENTER uliwashirikisha wawaniania katika ngazi ya kata na Taifa kwa ujumla ambapo walijitokeza wajasiriamali , madiwani  na wabunge waviti maalumu n.k

BAADHI YA  WASHIRIKI KATIKA PICHA WAKIIMBA BAADA YA KUHITIMISHA MAFUNZO HAYA
mwandishi: aloyce sengasenga

No comments:

Post a Comment

Post Top Ad

Your Ad Spot